Ndugu Wanachama,
Katika kutimiza lengo la kupata wanachama 1milioni na baadae 3milioni ifikapo mwaka 2024, * Sisi ni taasisi ya Kitaifa na kutambua hilo Ofisi ya Rais wa TRCS imefanikiwa kupata udhamini wa nafasi 1,500 za vijana chini ya miaka 35 wa kuvoluntia kwenye chama chetu watakaolipwa 150,000/= nauli na posho kila mwezi na udhamini huu ni muhimu tukautumia vema kujipanga zaidi na kupata wanachama wapya*. Hii ina maana kwamba kwa wastani kila Wilaya nchi nzima ni zaidi ya Vijana 10. Na ikumbukwe TRCS haitohusika na kuwalipa vijana hao malipo hayo kila Mwezi.